Nilivyopania kuinua kiwango cha Elimu Sengerema.
Ndugu zangu nikiwa kama mkazi na mwanafunzi niliyesoma kuanzia chekechea mpaka kidato cha nne katika wilaya ya Sengerema nimepania kunyanyua kiwango cha elimu katika wilaya yangu kwa kutoa huduma za kielimu kwa bei nafuu......nitazielezea hapo baade huduma ninazozito. Naomba wakazi wa Sengerema na Mwanza kwa ujumla wenu mniunge mkono.
No comments:
Post a Comment