ndugu zangu kwa mda mrefu nimekuwa siweki updates katika blog yangu hii inatokana na bize kidogo ya Semister exams. naahidi kuanzia tarehe 6/2/2012 tutakuwa tukichambua habari muhimu za maendeleo ya elimu ktk wilaya yetu. tarehe 5/2/2012 kutakuwa na maboresho ya blog yetu, tutegemee mambo mazuri.......
wenu
EMILIAN BARONGO
elimukwetu manager.