Sunday, January 1, 2012

Elimu Sengerema

ndugu zangu kiwango cha elimu katika wilaya yetu ya Sengerema kinazidi kuzorota, wakazi tunahitaji kuwekeza nguvu nyingi atika kuinua kiwango cha elimu wilayani Sengerema na mkoani Mwanza kwa Ujumla. hayo niliyagundua tarehe 23/09/2011 nilipohuzuria mahafali ya kidato cha nne katika shule ya sengerema sekondari moja ya shule zenye historia kubwa nchini Tanzania

No comments: